Monday, September 18, 2017

Published 9/18/2017 07:33:00 AM by with 0 comment

SIRI YA FURAHA YANGU

Mume mwema mwenye mapenzi ya dhati ndiyo hasa anayenifanya nifurahi na kutabasamu maishani mwangu.

Kwa ushauri jiunge na Mi&u WhatsApp:0679979785 au tuffolow Insta:@mimi_na_uhusiano

Read More
      edit
Published 9/18/2017 07:30:00 AM by with 0 comment

SIKU HII NAKUMBUKI VIFO VYA WAZAZI WANGU

Kweli dunia ni tambara mbovu, siku hii nakimbuka vifo vya wazazi wangu ambao walifariki siku kama hii.

Mungu nisimamie katika maisha yangu, kwani changamoto ni nyingi sana pekee yangu sitaweza.

Kwa ushauri jiunge na Mi&u WhatsApp:0679979785 au tuffolow Insta:@mimi_na_uhusiano

Read More
      edit

Saturday, September 16, 2017

Published 9/16/2017 07:42:00 AM by with 0 comment

MITANDAO HAIJAMUACHA MTU SALAMA



USIKOSE KUSOMA MIKASA KWELI YA MITANDAO YA KIJAMII INAYOTOKEA KILA SIKU DUNIANI.



Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com


Read More
      edit
Published 9/16/2017 07:39:00 AM by with 0 comment

MWANAUME ATAKAYENIPENDA

Ipo siku nami nitapata mwanaume anayejua thamani ya penzi langu, mwanaume ambaye atanipenda kwa dhati, atakanijali, atanilinda na kuniheshimu.



Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com
Read More
      edit
Published 9/16/2017 07:36:00 AM by with 0 comment

ASANTE MAMA KIJACHO


Mama kijacho wangu nitakupenda siku zote za maisha yangu. Mungu akujalie uzao mwema

Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com
Read More
      edit

Friday, September 15, 2017

Published 9/15/2017 01:35:00 PM by with 0 comment

NIKIFANYA NAYE MAPENZI ANANIULIZA SWALI!


Naomba ushauri kuna msichana nampenda sana lakini kila nikijamiana nae ananiuliza umerizika?nkimwambia bado tunaendele kufanya yetu sasa nashindwa kutambua kwamb yeye karidhika au la?

Jiunge na Mi&u WhatsApp:0679979785 au tuffolow Insta:@mimi_na_uhusiano

Read More
      edit

Thursday, September 14, 2017

Published 9/14/2017 08:14:00 AM by with 0 comment

ASANTE MUNGU KWA SIKU NJEMA

Ninakushukuru Mungu kwa kutuamsha salama salimi kwa siku hii.

Read More
      edit

Thursday, September 7, 2017

Published 9/07/2017 07:14:00 AM by with 0 comment

SIKU NJEMA IKIANZA KWA FURAHA ITAISHA KWA FURAHA

Wapenzi mkianza siku kwa furaha  mtaimaliza siku kwa furaha

#Miminauhusiano#

Read More
      edit
Published 9/07/2017 07:11:00 AM by with 0 comment

WAPENZI ANZENI SIKU KWA MAOMBI

Maisha ya mapenzi yanachangamoto nyingi sana, ni vizuri zaidi kama wapenzi mkianza na maombi ili Mungu awatangulie na kuwasimamia muweze kumaliza siku salama.

#Miminauhusiano#
Read More
      edit
Published 9/07/2017 12:31:00 AM by with 0 comment

SIMU IMEKUWA CHANZO CHA UGOMVI NA MPENZI WANGU

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nimeolewa na nina mtoto mmoja. Kila siku ninekuwa niligombana na mume wangu kisa simu. Ninaomba ushauri wenu nifanyaje?

Read More
      edit