Saturday, September 16, 2017

Published 9/16/2017 07:36:00 AM by with 0 comment

ASANTE MAMA KIJACHO


Mama kijacho wangu nitakupenda siku zote za maisha yangu. Mungu akujalie uzao mwema

Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com
Read More
      edit

Friday, September 15, 2017

Published 9/15/2017 01:35:00 PM by with 0 comment

NIKIFANYA NAYE MAPENZI ANANIULIZA SWALI!


Naomba ushauri kuna msichana nampenda sana lakini kila nikijamiana nae ananiuliza umerizika?nkimwambia bado tunaendele kufanya yetu sasa nashindwa kutambua kwamb yeye karidhika au la?

Jiunge na Mi&u WhatsApp:0679979785 au tuffolow Insta:@mimi_na_uhusiano

Read More
      edit

Thursday, September 14, 2017

Published 9/14/2017 08:14:00 AM by with 0 comment

ASANTE MUNGU KWA SIKU NJEMA

Ninakushukuru Mungu kwa kutuamsha salama salimi kwa siku hii.

Read More
      edit

Thursday, September 7, 2017

Published 9/07/2017 07:14:00 AM by with 0 comment

SIKU NJEMA IKIANZA KWA FURAHA ITAISHA KWA FURAHA

Wapenzi mkianza siku kwa furaha  mtaimaliza siku kwa furaha

#Miminauhusiano#

Read More
      edit
Published 9/07/2017 07:11:00 AM by with 0 comment

WAPENZI ANZENI SIKU KWA MAOMBI

Maisha ya mapenzi yanachangamoto nyingi sana, ni vizuri zaidi kama wapenzi mkianza na maombi ili Mungu awatangulie na kuwasimamia muweze kumaliza siku salama.

#Miminauhusiano#
Read More
      edit
Published 9/07/2017 12:31:00 AM by with 0 comment

SIMU IMEKUWA CHANZO CHA UGOMVI NA MPENZI WANGU

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nimeolewa na nina mtoto mmoja. Kila siku ninekuwa niligombana na mume wangu kisa simu. Ninaomba ushauri wenu nifanyaje?

Read More
      edit

Thursday, August 31, 2017

Published 8/31/2017 11:16:00 AM by with 0 comment

DOGO JANJA AMPENDA SANA UWOYA

Msanii wa Bongo Flava, Dogo Janja amezungumzia taarifa zilizokuwa zikidai kuwa anatoka kimapenzi na Muigizaji wa filamu Irene Uwoya.

Rapper huyo ambaye ameachia ngoma mpya leo ‘Ngarenaro’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa ukaribu wao ulikuwa wa kawaida tu na hakuna kilichokuwa kinaendelea kati yao ingawa watu waliwachukulia vinginevyo.
“Nampenda sana yule dada lakini kuwa na mazoea naye kidogo kumezua maneno mengi,” amesema Dogo Janja.

July mwaka huu zilienea taarifa katika mitandao ya kijamii kuwa wawili hao wameonakana jijini Mwanza katika matanuzi  ya nguvu kitu kilichozua minong’ono kuwa wapo mapenzini.

Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com



Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com

CHANZO: BONGO5
Read More
      edit

Monday, August 28, 2017

Published 8/28/2017 06:20:00 PM by with 0 comment

MUDA WA USICHANA NI MFUPI JIPANGE


Ni vema msichana akajipanga kwa kipindi hicho cha umri wa usichana wake, msichana anapaswa kuishi maisha sahihi, ajitunze mwili wake na awe kielelezo bora au mfano wa kuingwa kwa wananomtazama.

Elimu ya utambuzi ni kitu muhimu kwa binadamu aliyekamilika, pamoja na kujipa kipaumbele kwako wewe usichana wa kisasa. Uzuri ulio nao leo hii wewe msichana wa miaka 23, hautakuwepo miaka saba ijayo hasa kama utajiachia hovyo hovyo kwa wanaume na kukutumia mwili wako vibaya.

Tunza usichana wako na ishi kwa stara ili kujiwekea mazingira mazuri kwa ajili ya maisha yako ya sasa na baadaye.heshimu kila mtu anayekutana naye mbele yako naye atakuheshimu.

Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com



Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com


Read More
      edit
Published 8/28/2017 06:10:00 PM by with 0 comment

MAKONDA AWASHAURI KIBA NA DIAMOND



Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mhe Paul Makonda amefurahishwa na ushindani wa kimuziki baina ya Diamond Platnumz na Alikiba kwa kusema unachangamsha muziki wetu huku akiwaonya kuwa kazi zao lazima wazingatie sheria na maadili yetu.

Mhe Makonda amesema anapenda sana anavyowaona vijana hao wakishindana na ushindani wao unafanya muziki ukue kwa kufanya kazi nzuri.
“Tofauti zenu mimi nazipenda, kwani zinaleta ushindani mzuri kwenye mziki“,ameandika Mhe Paul Makonda kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuwaonya kuwa ni lazima wazingatie sheria na utamaduni wetu kwenye kazi zao kwa kusema “Ila naomba mzingatie sheria na Utamaduni wetu..“.
 Alikiba kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya wa Seduce Me huku Diamond Platnumz akifanya vizuri na nyimbo zake kama Fire, Eneka, I miss u na ule mpya wa ‘Zilipendwa’ ambao  umeimbwa na wasanii wote wa WCB.


Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com



Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com



Read More
      edit
Published 8/28/2017 04:34:00 PM by with 0 comment

MWANAUME WA HIVI YUPO?


Huyu kaka kijijini huko alinipenda tokea nikiwa form one na yeye form 3 kiukweli mimi sikuwahi kujua kupenda na wala hiyo maana nilikuwa sina ila kijana inaonyesha alikuwa na real love kwangu barua nikiwa shule ananitumia na hela kwenye barua nakula hela zake lakini akitaka kunikiss namwambia ni dhambi na mama amenikataza.
Hili alikubali sababu anajua mama yangu ni mlokole na ni mkali nikimsemea ataenda washa moto pale kwao namnyima vyote ila pesa yake nachukua na tunapiga story sana tu ila hakuna kugusana ni dhambi na hapo mimi nimesoma girls japo fom two kuna mambo yalitokea lakini yeye siyo sababu nikachukia wanaume wote pamoja na yeye ila pesa yake sikuacha niliipenda.
Form four akaomba mchezo nikachomoa kwa kigezo kile kile cha dhambi na kwamba hanipendi mpaka ndoa kaka wa watu akakubali tukawa wapenzi wa mdomo tu nimeingia advance huku Dar shule ya dei nikapata kaboyfriend (h ahaha huyu sitasahahu tulikimbizwa na wanajeshi) story ndefu hapa basi jamaa yangu huyu wa kusubiri nikawa nampotezea ila nikiwa na shida ya hela namwambia ananipa kwa kigezo me ni mke wake kiukweli siwezi sema kama nilikuwa namchukia hapana.
Nikaingia chuo khee ndiyo majanga zaidi nikaamua kumla kibuti akajaribu kujiua kaka yake akamuokoa aisee nilisutwa na wachaga wale sitasahau na kuambiwa akifa ni juu yangu mmh any way sipendi kukumbuka.
Kwa sasa ana mke na watoto wawili na anaishi Mwanza juzi kanitafuta anakuja kuniambia kuwa anakosa amani hana furaha sababu anaamini mimi ndiyo mke wake na mbaya zaidi kamwambia mkewe kuwa ananipenda mimi sioni tabu yeye kunipenda ila tatizo lipo kwangu nimemueleza haya naona haelewi
1. Huyu kaka ni mtu mzuri mno mno yani hastahili mwanamke kama mimi na ningekuwa naye ningekuwa nimeokota embu kwenye mwarubaini lakini siwezi kuwa naye naona nitamtesa hata kama angekuwa hajaoa mmmh hapana nimejichekecha wee siku ya tano leo bado najiona sistahili hata chembe kuwa na kijana huyu he is so nice to have a person like me naomba wakuu muelewe na mumshauri.

2, Nimemwambia siwezi penda wanao kama mama yao anavyowapenda ila yeye anasema hakuna shida atawapeleka boarding naogopa kumpa za uso asijejaribu tena kujitoa duniani aache viumbe hawa wateseke.

3. Anasema yupo tayari kunipa chochote ni kweli anaweza sababu nakumbuka shamba la baba yake alilompa jina langu na lake lipo, mimi ni mlaghai jamani na sijui kama kabadilisha umiliki haikuwa ni hati ila makabidhiano naona kabisa njia ile ya kumchuna huyu kiumbe ila watoto watateseka na hii familia machozi yao hayataniacha salama mmmh sipo tayari.
4. Nitamtesa najua unanipenda sana ooh no sideserve.
Mwisho wa kunukuu

TUIACHE STORI... TUIWEKE KANDO
NINA HAYA MASWALI
1. Wanaume wanaopenda hivi wapo kweli? Wanapatikana wapi?

2. Mke ukigundua mumeo kitaaambo tu amedata na mtu namna hii utajisikiaje? Utaendelea kuwepo? Utafanyaje?
3. Nini kinafanya mtu anampenda binadamu mwenzake kiasi hiki?
4. Yawezekana anakuwa anajua alipendewa pesa au anapendewa pesa nk ila bado tu anataka kuwa na wewe no matter what! Kweli???
5. Je ina maana kuna wanaume wanaoa huku mioyo yao iko kwingine????
ETI?

Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com



Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com




Read More
      edit