
KIUMBE WA
USIKU 01
“Naitwa
Joy.. naishi Tandale. Abeeeh! Nina miaka
18,” hiyo ilikuwa ni sauti ya Joy akijibu maswali aliyoulizwa; akiwa katika
moja ya vyumba vya gesti maarufu kwa jina la Kuyangatana Guest House na mzee
mmoja wa makamo aliyeonekana kuvutiwa na maongezi kwanza kabla ya kufanya
ngono.
Joy
aliyeonekana...