Thursday, September 28, 2017

Published 9/28/2017 09:05:00 PM by with 0 comment

USHAURI WAKO: BOSI ANAMUACHA MKEWE CHUMBANI ANAKUJA KWANGU Mimi ni binti ambaye ninafanya kazi za ndani.Nilishangaa nimejikuta nampenda bosi wangu wa kiume bila yeye kujua lakini kumbe hata yeye ananipenda. Baadaye tuliamua kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi, kila siku usiku bosi anamuacha mkewe...
Read More
      edit

Friday, September 22, 2017

Published 9/22/2017 12:27:00 PM by with 0 comment

MCHUNGAJI ANANITAKA, ETI NIKIZINI NAYE MUNGU ATATENDA!

Habari ndugu, naomba ushauri wenu kuna mchungaji kijana anaisumbua na kunikosesha raha kwa kunisumbua eti niwe naye kimapenzi. Machungaji huyo anataka tukitane sehemu tulivu tuzungumze nikimwambia tuongelee kanisani anakataa. Eti ananiambia ana maono na mimi nikimkubali na kuzini naye Mungu atatenda....
Read More
      edit

Thursday, September 21, 2017

Published 9/21/2017 07:17:00 PM by with 0 comment

NATAMANI NITILIMIZE NDOTO ZANGU

Hongera Kwa Kazi Kaka Gabriel,,naomba Nikupongeze Kwa Kazi Nzuri Unayoifanya M&U Hasa Machapisho  Kwa Waliokata Tamaa Kabisa Ya Maisha,,binafsi Nilikata Tamaa Baada Ya Kupitia Mikasa Ya Majaribu Magumu Sana,,naamini Mungu Anakutumia Haswa Kuganga Mioyo Ya Watu,,ombi Langu Nisaidie Niyapate...
Read More
      edit

Wednesday, September 20, 2017

Published 9/20/2017 07:10:00 AM by with 0 comment

UNA KILA SABABU YA KUFURAHI BILA KUJALI MATATIZO ULIYONAYO

Wakati wewe unalia huna kazi ya maana basi kuna wengine hawana kabisa. Wakati wewe unalia kwa sababu mwenza wako kakuacha au mmeachana kuna wengine hata wadawa hawana. Wakati wewe unashinda kwa kula mlo mmoja  kuna mwingine anakula mlo mmoja kwa siku kadhaa. Wakati wewe una afya njema na mathubuti...
Read More
      edit
Published 9/20/2017 06:54:00 AM by with 0 comment

KAMA PENZI LIMEFIKA MWISHO KUBALI UKWELI!

Mwanamke mzuri, tabasamu murua, meno mazuri, meupe yaliyopangwa yakapangika. Kwa nini ukate tamaa kumalizia safari yako kwa sababu uliyekuwa naye safarini kashindwa kuimaliza safari yenu. Ahadi ni kufika mwisho kama yeye kashindwa Pambana na hali yako. Maisha yapo, komaa unaweza kuishi na kufanya...
Read More
      edit

Monday, September 18, 2017

Published 9/18/2017 07:33:00 AM by with 0 comment

SIRI YA FURAHA YANGU

Mume mwema mwenye mapenzi ya dhati ndiyo hasa anayenifanya nifurahi na kutabasamu maishani mwangu. Kwa ushauri jiunge na Mi&u WhatsApp:0679979785 au tuffolow Insta:@mimi_na_uhusiano ...
Read More
      edit
Published 9/18/2017 07:30:00 AM by with 0 comment

SIKU HII NAKUMBUKI VIFO VYA WAZAZI WANGU

Kweli dunia ni tambara mbovu, siku hii nakimbuka vifo vya wazazi wangu ambao walifariki siku kama hii. Mungu nisimamie katika maisha yangu, kwani changamoto ni nyingi sana pekee yangu sitaweza. Kwa ushauri jiunge na Mi&u WhatsApp:0679979785 au tuffolow Insta:@mimi_na_uhusiano ...
Read More
      edit

Saturday, September 16, 2017

Published 9/16/2017 07:42:00 AM by with 0 comment

MITANDAO HAIJAMUACHA MTU SALAMA

USIKOSE KUSOMA MIKASA KWELI YA MITANDAO YA KIJAMII INAYOTOKEA KILA SIKU DUNIANI. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Read More
      edit
Published 9/16/2017 07:39:00 AM by with 0 comment

MWANAUME ATAKAYENIPENDA

Ipo siku nami nitapata mwanaume anayejua thamani ya penzi langu, mwanaume ambaye atanipenda kwa dhati, atakanijali, atanilinda na kuniheshimu. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Read More
      edit
Published 9/16/2017 07:36:00 AM by with 0 comment

ASANTE MAMA KIJACHO

Mama kijacho wangu nitakupenda siku zote za maisha yangu. Mungu akujalie uzao mwema Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Read More
      edit

Friday, September 15, 2017

Published 9/15/2017 01:35:00 PM by with 0 comment

NIKIFANYA NAYE MAPENZI ANANIULIZA SWALI!

Naomba ushauri kuna msichana nampenda sana lakini kila nikijamiana nae ananiuliza umerizika?nkimwambia bado tunaendele kufanya yetu sasa nashindwa kutambua kwamb yeye karidhika au la? Jiunge na Mi&u WhatsApp:0679979785 au tuffolow Insta:@mimi_na_uhusiano ...
Read More
      edit

Thursday, September 14, 2017

Published 9/14/2017 08:14:00 AM by with 0 comment

ASANTE MUNGU KWA SIKU NJEMA

Ninakushukuru Mungu kwa kutuamsha salama salimi kwa siku hii. ...
Read More
      edit

Thursday, September 7, 2017

Published 9/07/2017 07:14:00 AM by with 0 comment

SIKU NJEMA IKIANZA KWA FURAHA ITAISHA KWA FURAHA

Wapenzi mkianza siku kwa furaha  mtaimaliza siku kwa furaha #Miminauhusiano#...
Read More
      edit
Published 9/07/2017 07:11:00 AM by with 0 comment

WAPENZI ANZENI SIKU KWA MAOMBI

Maisha ya mapenzi yanachangamoto nyingi sana, ni vizuri zaidi kama wapenzi mkianza na maombi ili Mungu awatangulie na kuwasimamia muweze kumaliza siku salama. #Miminauhusia...
Read More
      edit
Published 9/07/2017 12:31:00 AM by with 0 comment

SIMU IMEKUWA CHANZO CHA UGOMVI NA MPENZI WANGU

Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nimeolewa na nina mtoto mmoja. Kila siku ninekuwa niligombana na mume wangu kisa simu. Ninaomba ushauri wenu nifanyaje? ...
Read More
      edit