Thursday, August 31, 2017

Published 8/31/2017 11:16:00 AM by with 0 comment

DOGO JANJA AMPENDA SANA UWOYA

Msanii wa Bongo Flava, Dogo Janja amezungumzia taarifa zilizokuwa zikidai kuwa anatoka kimapenzi na Muigizaji wa filamu Irene Uwoya. Rapper huyo ambaye ameachia ngoma mpya leo ‘Ngarenaro’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa ukaribu wao ulikuwa wa kawaida tu na hakuna kilichokuwa kinaendelea...
Read More
      edit

Monday, August 28, 2017

Published 8/28/2017 06:20:00 PM by with 0 comment

MUDA WA USICHANA NI MFUPI JIPANGE

Ni vema msichana akajipanga kwa kipindi hicho cha umri wa usichana wake, msichana anapaswa kuishi maisha sahihi, ajitunze mwili wake na awe kielelezo bora au mfano wa kuingwa kwa wananomtazama. Elimu ya utambuzi ni kitu muhimu kwa binadamu aliyekamilika, pamoja na kujipa kipaumbele kwako wewe usichana...
Read More
      edit
Published 8/28/2017 06:10:00 PM by with 0 comment

MAKONDA AWASHAURI KIBA NA DIAMOND

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mhe Paul Makonda amefurahishwa na ushindani wa kimuziki baina ya Diamond Platnumz na Alikiba kwa kusema unachangamsha muziki wetu huku akiwaonya kuwa kazi zao lazima wazingatie sheria na maadili yetu. Mhe Makonda amesema anapenda sana anavyowaona vijana hao wakishindana ...
Read More
      edit
Published 8/28/2017 04:34:00 PM by with 0 comment

MWANAUME WA HIVI YUPO?

Huyu kaka kijijini huko alinipenda tokea nikiwa form one na yeye form 3 kiukweli mimi sikuwahi kujua kupenda na wala hiyo maana nilikuwa sina ila kijana inaonyesha alikuwa na real love kwangu barua nikiwa shule ananitumia na hela kwenye barua nakula hela zake lakini akitaka kunikiss namwambia...
Read More
      edit

Sunday, August 27, 2017

Published 8/27/2017 05:01:00 PM by with 0 comment

CHOMBEZO ZA ME&U

CHOMBEZO: TARATIBU SHEMEJI ME&U SEHEMU YA 1 Inawezekana umekata tamaa na huoni mtu mwingine wa kumpa nafasi katika moyo wako kwa sababu tu umeishaumizwa na kulizwa vya kutosha, umeishateseka sana kiasi ambacho umefika sehemu huoni mwanaume au mwanamke mwingine ambaye unaweza kumpa moyo...
Read More
      edit
Published 8/27/2017 01:50:00 PM by with 0 comment

ZARI NA WEMA WAUNGANA KUMUUMBUA MABETO

Mambo yanazidi kuwa mambo! Lile saga la mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa, Hamisa Hassan Mobeto, kudaiwa kuzaa na msanii wa bongo Fleva linazidi kuchukua sura mpya kila kukicha, nyuma yake kukiwa na sarakasi nyingi ambazo siyo za nchi hii. Ubuyu mpya mjini unadai kwamba, staa mwenye jina...
Read More
      edit
Published 8/27/2017 01:41:00 PM by with 0 comment

PUNDA HAFI KWA KIPIGO SHOGER

 Kuchamba tu! Weee! Aliyekwambia hii sehemu ya kuchamba nani? Nipo hapa kutoa elimu tena likukae akilini kimbelembele we unayejikalisha na kujisemesha ukipotosha watu, loo! Nikugeukie na wewe uliye na hamu ya kujua leo shoga yako nimekuja na nini? Punda hafi kwa kupewa kipigo! Kila siku...
Read More
      edit
Published 8/27/2017 01:35:00 PM by with 0 comment

SHAMSA ATAMANI KUMRUDIA MUNGU WAKE

Staa wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa, anatamani kumfuata aliyekuwa staa wa Taarab, Mzee Yusuf kwa kuokoka kwani anahisi siku za kufa zimekaribia. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Shamsa alisema kuwa, kila kukicha anajikuta anatamani kuokoka na kuacha kila kitu anachokifanya, abaki...
Read More
      edit

Tuesday, August 22, 2017

Published 8/22/2017 09:26:00 AM by with 0 comment

BOSI AMZALISHA HAUSIGIRL WAKE

Dunia uwanja wa fujo! Bosi mmoja aliyejulikana kwa jina la Jackson mkazi wa Mbagala-Mwanamtoti, Dar, anadaiwa kumzalisha mfanyakazi wake wa ndani aliyetambulika kwa jina la Amina Donisiani kisha kumtelekeza gesti. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Amina alisema kuwa, baada ya bosi wake kumpa ujauzito,...
Read More
      edit
Published 8/22/2017 08:58:00 AM by with 0 comment

MAGAZETI YA LEO AUGOST 22, 2017

Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta@mimi_na_uhusiano, Facebook Page: Mimi na Uhusiano au tembeleawww.miminauhusiano.blogspot.com Kwa ushauri wa UHUSIANO na UJASIRIAMALI jiunge na Mi&u WhatsApp:+255679979785...
Read More
      edit
Published 8/22/2017 08:50:00 AM by with 0 comment

UKIMSOMESHA MPENZI WAKO TEGEMEA HAYA

Jenga tabia ya kumshukuru Mungu kwa kila jambo katika maisha yako, liwe baya au jema. Wakati mwingine kuna mambo unakutana nayo kwa ajili ya kukukomaza, kukufunza au kukuweka karibu na Mungu. Yamkini umesikia, umejionea au umepatwa na jambo hili. Huo ndiyo ukweli kuwa, ukimsomesha mpenzi wako,...
Read More
      edit

Saturday, August 19, 2017

Published 8/19/2017 04:48:00 PM by with 0 comment

UNAOSHAJE UKE KAMA UNAFUA JINZI/ UNANAWA SUMU!

HARUFU HALISI YA UKE WAKO NI HAMASA KITANDANI!Usikose Dude la Kungwi kila siku ya Jumamosi kuanzia saa 3 usiku. Kwa kujiunga na Mi&u WhatsApp:+255679979785 au tufollow Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea www.miminauhusiano.blogspot.c...
Read More
      edit

Thursday, August 17, 2017

Published 8/17/2017 04:52:00 PM by with 0 comment

NILIOLEWA NA KUACHIKA SIKU YA HARUSI YANGU

Kila nikikumbuka nashindwa hata kulia, nimejaribu kujiua zaidi ya mara tano lakini ilishindikana, sasa hivi naamini Mungu anataka niishi na nimeamua kupiga moyo konde ili niendelee na maisha kwani kama nipo hai leo basi naamini Mungu ana sababu zake. Mimi ni Binti wa miaka 30, sijaolewa...
Read More
      edit

Wednesday, August 16, 2017

Published 8/16/2017 01:45:00 PM by with 0 comment

ANALAZIMISHA PENZI

Habari wana ME&U mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 hivi karibuni nimetokea kuanzisha mahusiano na kijana mmoja ambaye ni mfanya kazi wa kampuni moja ya uwandishi. Kitu ambacho kinachonisumbua ni kwamba ndani ya mwezi mmoja na mpenzi wangu huyo hatujawai kujihusisha na mapenzi licha ya yeye...
Read More
      edit