Sunday, December 24, 2017

Published 12/24/2017 09:57:00 PM by with 0 comment

M&U INAKUTAKIA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Uongozi wa Mimi na Uhusiano Foundation unakutakiwa Heri ya Fanaka ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya. Mungu Mwenyezi akutie faraja kwenye magumu yote, akupe subira kwenye changamoto unazokutana nazo. Akupe wepesi kwenye riziki yako ya kila siku. Akupe kumbukumbu ya kumtukuza na kumsujudu yeye...
Read More
      edit

Tuesday, December 19, 2017

Published 12/19/2017 04:00:00 PM by with 0 comment

USIJILIAMU KWA KUKOSEA MWAKA 2017

  Ni siku moja imesalia ili Wakristo na wasiyo Wakristo duniani kote kuweza kusherehekea Sikukuu ya Krismas (kuzaliwa kwa Yesu Kristo). Wiki kadhaa ndugu zetu waislamu walisherehekea pia Sikukuu ya Maulidi au kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W), walimaliza salama na Mungu awaongoze Wakristo...
Read More
      edit
Published 12/19/2017 03:00:00 PM by with 0 comment

UNAWEZA KUTAMBULISHWA NA BADO UKAACHWA!

Mambo wanaM&U, nimshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kukutana nayi kwa siku nyingine tena, karibuni katika kujifunza kuhusu uhusiano katika maisha yetu ya kila siku. Mada yangu ya leo nitazungumzia watu ambao wanadhani wakitambulishwa basi inakuwa nikifungo kwa mtu aliyemtambulisha kwa...
Read More
      edit
Published 12/19/2017 12:00:00 PM by with 0 comment

MKE MWENZANGU, HANIPENDI!

Poleni na majukumu ya siku nzima. Nimekuwa nikifuatukia ushauri na maoni yenu mbalimbali kuhusu UHUSIANO WA MAPENZI. Mimi ni binti wa miaka 20 nina mwaka mmoja nikiwa nimeolewa mke mdogo na mwanaume mwenye miaka zaidi ya 40. Nilipoolewa nimemkuta mke mwenzangu mkubwa yeye ana miaka 40. Lakini...
Read More
      edit

Saturday, December 16, 2017

Published 12/16/2017 03:30:00 PM by with 0 comment

KWA NINI HUTAKI KUKUBALI UNAPOKOSA!

Nimshukuru Mungu kwa wema wake alionitendea leo katika mzunguko mzima wa shughuli zangu za kila siku, ikiwemo kuninuthuru na mambo mbalimbali ya kiovu. Bila shaka na wewe unaposoma makala haya huna budi kusema asante Mwenyezi Mungu kwa kunisimamia katika kuimaliza vyema siku ya leo. Katika...
Read More
      edit
Published 12/16/2017 12:00:00 PM by with 0 comment

NI SAHIHI WANA NDOA KUKAGUANA KAMA WAMECHEPUKA?

Habari za kazi ndugu, swali langu ni sahihi kwa wapenzi au wana ndoa kuwa wanakaguaka kila wanapotoka kazini? Kwa mfano mwanamke akama hajaenda kazini basi mumewe akirudi anamkaguwa na mwanaume naye akiwa hajaenda kazini, mkewe akirudi kabla ya kuoga aua kupumzika anamkagua kama kachepuka! Kwa...
Read More
      edit

Friday, December 15, 2017

Published 12/15/2017 03:00:00 PM by with 0 comment

UNAMUONA HAKUFAI KWA SABABU UKO NAYE

Hakuna aliyeijua leo, lakini ni Mungu pekee ambaye ametupa kibali cha kutumia pumzi yake na ndiyo maana tuko wote. Waswahili wanasema kazi mbaya ukiwa nayo na wengine wanasema kazi nzuri ukiwa hauko nayo kama wewe ni mmoja wa wale ambao ulishwawahi kujilaumu  kwa kum,uacha au kufanyia vimbwanga...
Read More
      edit
Published 12/15/2017 12:00:00 PM by with 0 comment

NANI WAKULAUMIWA, MUME AU BINAMU ALIYEZINI NA SHEMEJI NAYE

Mimi ni mwanamke ambaye nimebahatika kuolewa. Hivi karibuni nimegundua kuwa mume wangu amezini na binamu yangu. Je, nani wa kumlaumu kati ya mume wangu na ndugu yangu? Nini nifanye kwa kitendo alinichonifanyia mume wangu na binamu yangu? #ACHAWOGATHUBUTU#MIMINAUHUSIANO# Kwa ushauri wa Uhusiano...
Read More
      edit
Published 12/15/2017 12:00:00 PM by with 0 comment

SHIDA HUTAFUTA UVUMBUZI

Usiogope kukutana au kupatwa na shida, hautakufa kwa sababu ya shida, hautadhorika kwa sababu ya shida ulizonazo ila kama ukizitumia vizuri shida zako zitakufanya upate uvumbuzi wa matatizi na changamoto zako. Maisha yoyote yale, duniani kote kazima ukutane na shida mbalimbali na hata waliofanikiwa...
Read More
      edit

Thursday, December 14, 2017

Published 12/14/2017 09:30:00 PM by with 0 comment

USIKATE TAMAA KWA SABABU YA KUACHWA

Mungu ni mwema na mwenye upendo wa dhati kwetu sote kwa yeye kutuunganisha na kuwa kitu kimoja kupitia #Mi&U. Nikushukuru wewe ambaye umekuwa sehemu ya #Mi&U tangu kuanzisha hadi sasa. Najua kuna mengi ambayo unayapitia katika maisha yako ya kila siku yawe ya mapenzi au kawaida. Vivyo hivyo...
Read More
      edit
Published 12/14/2017 10:00:00 AM by with 0 comment

MWAKA UNAISHA UMEGUNDUA MAKOSA YAKO!

Mwaka ndugu ndiyo unakaribia kuisha, yamkini ulikuwa na majukumu au mipango mingi sana katika maisha ya penzi lako. Je, mipango yako imeenda kama ulivyokuwa umepanga? Kama ilienda aua haijaenda sawa mshukuru Mungu. Kwani bado kakujaliwa pumzi yake. Kama mipango haikwenda sawa, jiulize kwa nini?...
Read More
      edit
Published 12/14/2017 12:00:00 AM by with 0 comment

NITUMIE MBINU ZIPI KUINJOYI KIBAMIA CHA MUME WANGU!

Naomba ushauri wako, mimi ni mwanamke ambaye nimeolewa hivi karibuni, ila kabla ya ndoa sikuwa nimekutana kimwili na mume wangu. Baada ya kufuata taratibu zote za kwetu alinioa.Siku ya kwanza nakutana naye faragha nilishtuka sana kuona ana #KIBAMIA nikapotezea kwa kujua atakuwa anajua kukitumia vizuri.   Kiukweli siku...
Read More
      edit