Friday, June 30, 2017

Published 6/30/2017 03:53:00 PM by

MISINGI MITANO (5) YA KUFANIKIWA KATIKA UJASILIAMALI

Katika ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa ngumu na shida kupatikana, ujasiriamali na biashara vimekuwa ndio kimbilio la wengi. Watu wengi wanaingia kwenye biashara kama njia kuu ya kujipatia kipato. Pamoja na biashara kuonekana kuwa kimbilio la wengi sio wote wanaoingia kwenye biashara wanafanikiwa....
Read More
      edit
Published 6/30/2017 02:56:00 PM by

SABABU 5 ZINAZOWEZA KUCHANGIA HEDHI YAKO KUCHELEWA

Wasichana wengi huanza kutawaliwa na hofu kila wanapoona wakati wa kuonda siku zao (hedhi) umefika halafu hawaoni hali ikijitokeza. Wengi wanapoona hali hiyo mawazo yao yote hueleka kuwa wameshashika ujauzito, lakini kumbe hali hiyo huweza kutokea kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo...
Read More
      edit

Friday, June 23, 2017

Published 6/23/2017 03:43:00 PM by with 0 comment

MKE KANIACHA, KAENDA KUUZA BAA!

Nilianza kuishi na mwanamke ambaye nilimpenda mwaka 2001' hatimaye Mungu akatujalia kupata watoto wawili. Mimi nikiwa ni mfanyabiashara wa mchele yeye akiwa ni mama wa nyumbani. Juzi tu mke wangu kabadilika, kaondoka kwangu kaenda kuuza baa. Kila nikimuuliza tatizo haniambii zaidi ya kusema yeye na...
Read More
      edit

Saturday, June 17, 2017

Published 6/17/2017 06:25:00 PM by

MAMBO 3 AMBAYO YANAWEZA KUKUFARIJI KATIKA MAIHA YAKO

  “KILA JAMBO LINA WAKATI WAKE” Wakati au muda ni kitu ambacho hakina mipaka. Hakuna jambo au kitu kisichokuwa na wakati wake na mwisho wake. Kwa maana kuwa, muda/time ndio suluhisho la mambo mengi. Kila jambo lina mwisho na wakati wake. Hata shida ulizo nazo zina kikomo chake ambacho...
Read More
      edit

Thursday, June 15, 2017

Published 6/15/2017 06:18:00 PM by

NJIA NNE ZA KUNOGESHA PENZI LAKO

KUPITIA safu hii uipendayo, leo ninakupa njia nne zitakazolifanya penzi lako liendelee kunoga, hata kama litakuwa limeanza kufubaa utaliamsha upya. Wengi wamekuwa hawaelewi mambo mengi kuhusu uhusiano ndiyo maana huishia kulalamika kwamba wanapenda sana lakini mwisho wa siku huishia kutendwa. Hakuna...
Read More
      edit

Saturday, June 10, 2017

Published 6/10/2017 03:18:00 PM by

MIMI NI MSHINDI AHADI YANGU NA NAFSI YANGU

Mafanikio ya biashara hayatokani na kuwa na wazo bora na mtaji pekee. Wengi wamekuwa wakifikiria vitu hivi viwili kabla ya kuanza biashara na hata wanapoanza biashara. Ambacho wengi hawaangalii ni kwamba kuna watu ambao wamekuwa na mawazo mazuri sana ya kibiashara, na wakawa na mtaji mkubwa pamoja...
Read More
      edit
Published 6/10/2017 02:04:00 PM by

MWEZI MTUKUFU FANYA HAYA KWA UMPENDAYE

Unakuta mwanamke anajua kabisa kuwa wenzao wapo kwenye mfungo lakini kwa sababu yeye si wa dini hiyo, basi haoni hatari kuvaa kihasara na kutembea hadharani. Kwa kifupi, uungwana ni vitendo, hebu onesha uungwana wako kwa siku hizi chache tu za Mwezi Mtukufu kisha baada ya hapo ruksa kuendelea...
Read More
      edit
Published 6/10/2017 01:09:00 PM by

SIMU YA MWENZA WAKO YA NINI, UNAJIPA PRESHA YA BURE

KWA wanandoa, uaminifu limekuwa ni jambo la msingi sana ndiyo maana kila siku tunasema, ili udumu na huyo uliyeingia naye kwenye ndoa, mjengee imani kuwa wewe ni wake na haitatokea siku ukamsaliti. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, kwenye baadhi ya ndoa kuna sarakasi nyingi sana. Katika ulimwengu...
Read More
      edit
Published 6/10/2017 11:24:00 AM by

MAGAZETI YA LEO JUNE 10, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785. Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa wetu...
Read More
      edit

Wednesday, June 7, 2017

Published 6/07/2017 01:17:00 PM by

MSANII EBITOKE ASEMA AJAWAI KUKUTANA NA MWANAUME

Mchekeshaji kutoka Timamu African Media, Ebitoke baada ya kutangaza anamuhitaji msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol katika mahusiano ya kimapenzi, leo ameibuka na kioja kingine. Ebitoke ambaye amekuwa akitoa vichekesho mbali mbali kupitia mitandao ya kijamii, ametoa kauli ambayo imetafsiriwa...
Read More
      edit
Published 6/07/2017 10:57:00 AM by

MAGAZETI YA LEO JUNE 7, 2017

...
Read More
      edit

Sunday, June 4, 2017

Published 6/04/2017 04:19:00 PM by

MUME AJINYONGA KWA UGOMVI MKE KUUZA MALI ZA FAMILIA ALIPE MIKOPO SHINYANGA

Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Luhende Lusangija(34) mkazi mtaa wa Mwinamila Kata ya Ngokolo manispaa ya Shinyanga amekutwa amejinyonga nyumbani kwake kutokana na kile kilichotajwa kuwa mke wake alikuwa anauza mali za familia kutokana na mikopo aliyokuwa anadaiwa. Tukio hilo limetokea...
Read More
      edit

Saturday, June 3, 2017

Published 6/03/2017 05:42:00 PM by

JOKATI ASEMA ANATAKA MUME MWENYE HOFU YA MUNGU

Mrembo Jokate Mwegelo ameamua kuweka wazi juu ya mwanaume anayependa kuolewa naye na kuanzisha familia baada ya miaka mitano. Joketi Akizungumza na gazeti la Mwanachi Jokate ambaye ametajwa kuwa katika orodha la jarida la Forbes Africa la kuwa miongoni mwa vijana walio na umri chini ya miaka...
Read More
      edit
Published 6/03/2017 05:22:00 PM by

UZURI NA MVUTO USIOCHUJA

Upo uzuri ambao hauchuji, haufifii na wala hauna madhara… Upo uzuri ambao hauhitaji kutumia nguvu kubwa kumvuta mtu wa jinsia nyingine au wenzio. Upo uzuri ambao mpaka kuzeeka kwako bado utakufanya uendelee kuonekana mzuri na kujiona wewe ni mzuri mnooo… uzuri usio na majuto yoyote wala kikomo!  Hoja...
Read More
      edit