
Katika ulimwengu wa sasa ambao ajira
zimekuwa ngumu na shida kupatikana, ujasiriamali na biashara vimekuwa
ndio kimbilio la wengi. Watu wengi wanaingia kwenye biashara kama njia
kuu ya kujipatia kipato.
Pamoja na biashara kuonekana kuwa
kimbilio la wengi sio wote wanaoingia kwenye biashara wanafanikiwa....