Tuesday, July 25, 2017

Published 7/25/2017 04:52:00 PM by with 0 comment

MAJI YA MCHELE HAYAONJWI

Nakuona vile jicho kodo kisa kuangalia eti leo atamchamba nani? Unikome, sipo hapa kumchamba mtu miye! Hapa unapata elimi bibi wewe kama ulikuwa hujui, upo? Kwanza nikusalimu mwenzangu maana nikiaanza kutiririka utafikiri maji ya mtoni yameachiwa njia na kuingia kwenye makazi ya watu,...
Read More
      edit

Tuesday, July 18, 2017

Published 7/18/2017 01:13:00 PM by with 0 comment

RAYVAN ASEMA MPENZI WAKE AWEZI KUCHUKIA BAADA YA KUIONA VIDEO YAKE AKIWA NA GIGY

Baada ya video yake yenye utata na video vixen Gigy Money kusambaa, msanii wa Bongo Flava Rayvanny amesema Baby Mama wake ‘Fahyma’ hawezi kuchukia. Mshindi huyo wa tuzo ya BET 2017 akiwa chini ya label ya WCB, ameiambia Times Fm kuwa yeye na mpenzi wake hawachungani, hivyo jambo hilo alilichukulia...
Read More
      edit
Published 7/18/2017 01:03:00 PM by with 0 comment

RAYVAN ASEMA MPENZI WAKE AWEZI KUCHUKIA BAADA YA KUIONA VIDEO YAKE AKIWA NA GIGY

Baada ya video yake yenye utata na video vixen Gigy Money kusambaa, msanii wa Bongo Flava Rayvanny amesema Baby Mama wake ‘Fahyma’ hawezi kuchukia. Mshindi huyo wa tuzo ya BET 2017 akiwa chini ya label ya WCB, ameiambia Times Fm kuwa yeye na mpenzi wake hawachungani, hivyo jambo hilo alilichukulia...
Read More
      edit

Monday, July 17, 2017

Published 7/17/2017 07:41:00 PM by with 0 comment

MUUGUZI MBARONI KWA KOSA LA KUBAKA

MUUGUZI anayefanya kazi Kituo cha Afya Kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Damian Mgaya (26) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumbaka binti wa miaka 18 mkazi wa kitongoji cha Mwagala B, Kijiji cha Mwagala. Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Ntemi James alisema uhalifu huo umefanyika Julai...
Read More
      edit

Sunday, July 16, 2017

Published 7/16/2017 02:21:00 PM by with 0 comment

MAMBO 4 YA KUJENGA UTAJIRI HATA KAMA UMEZALIWA KWENYE FAMILIA MASKINI

Idadi ya tuliowengi bila  ya kujali ni maskini au tajiri  tumezaliwa katika familia maskini. Hata unapoona wengine wanakuwa wamefanikiwa sana, hiyo haina maana kwamba wao wametakotea katika koo au familia za kifalme, bali ni matokeo ya nguvu na juhudi zao wenyewe. Kwa mantiki hiyo...
Read More
      edit
Published 7/16/2017 10:56:00 AM by with 0 comment

TANZIA: WAZIRI MWAKYEMBE APATA MSIBA MZITO

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na mkewe, Linah George Mwakyembe Jumamosi hii. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa inasema marehemu alilazwa katika hospitali ya Aga Khan ambapo alikuwa akipatiwa matibabu mpaka kifo kilipomfika.  soma...
Read More
      edit

Saturday, July 15, 2017

Published 7/15/2017 07:48:00 PM by with 0 comment

SABABU ZA WAPENZI WENGI KUCHEPUKA

MPENZI msomaji wangu, kasi ya kusalitiana kwa wapenzi imekuwa ikiongezeka kila kukicha kiasi kwamba unapoingia katika uhusiano wa kimapenzi unahisi kama unaingia kwenye matatizo makubwa na hii ni kwa sababu watu siyo waaminifu kabisa kwa wapenzi wao. Unaweza kuwa na mpenzi wako ambaye kila mnapoonana...
Read More
      edit

Friday, July 14, 2017

Published 7/14/2017 04:49:00 PM by

AY AMVISHA PETE YA UCHUMBA MPENZI WAKE WA SIKU NYINGI

Rapper Ambwene Yessayah maarufu kama AY ameonyesha kuwa amechoshwa na ukapela.  Msanii huyo Alhamisi hii ameamua kumvisha pete mchumba wake wa muda mrefu Remy, raia wa Rwanda ambaye ajabu amekuwa naye tangia mwaka 2008.  Kwa mara yakwanza AY amemtambulisha mpenzi wake huyo Disemba...
Read More
      edit

Wednesday, July 12, 2017

Published 7/12/2017 09:14:00 PM by

RAHA JIPE MWENYEWE YAKUPEWA INA GHARAMA

Bila kujali ni magumu gani unayoyapitia lakini hakikisha raha unajipa wewe mwenyewe ukisubiri kupewa basi jua raha hiyo utailipia. Mi&u@mimi_na_uhusi...
Read More
      edit
Published 7/12/2017 06:01:00 PM by with 0 comment

SAFARI YA MWISHO YA MTANGAZAJI WA REDIO 93.7 EFM, SETH KATENDE MAARUFU BIKIRA WA KISUKUMA

Jeneza lenye mwili wa Marehemu Seth Katende maarufu kama Bikira wa Kisukuma ambaye alikuwa Mtangazaji wa Kituo cha Redio cha 93.7 EFM kupitia kipindi cha Ubaoni, likiwa katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam kunakofanyika misa ya kuaga mwili wake hivi sasa, ambapo baada ya...
Read More
      edit

Tuesday, July 11, 2017

Published 7/11/2017 10:56:00 AM by

NIACHE MASOMO ILI NIFANYE BIASHARA

Nina mke na mtoto mmoja. Kwa sasa nimeajiriwa kama mhasibu msaidizi katika kampuni moja hapa Dar es Salaam. Mwaka mmoja baada ya ajira niliamua kujiunga na masomo ya CPA ili kuongeza thamani ya taaluma yangu ya uhasibu. Changamoto yangu kipato hakitoshi masomo magumu na yanachukua muda zaidi...
Read More
      edit
Published 7/11/2017 10:01:00 AM by

MAGAZETI YA LEO JULY 11, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785. Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa wetu wa Mimi na...
Read More
      edit

Sunday, July 9, 2017

Published 7/09/2017 01:19:00 PM by

PICHA ZA HARUSI YA PROFESA JAY NA MKEWE GRACE

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785. Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa wetu wa...
Read More
      edit

Friday, July 7, 2017

Published 7/07/2017 09:41:00 PM by

NAHISI KUJITOA ROHO KISA MKE WANGU AU NIMFANYAJE?

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Read More
      edit