Mimi ni msichana wa miaka 20, nilijichanganya kwa kuanza mapenzi nikiwa
bado sijakomaa kifkra, nilipata mpenzi ambaye alinipa ujauzito ila baada
ya ujauzito huo alichonitenda.... sitosahau kwani alinitelekeza na kunifanya niishi maisha ya shida kwani nyumbani nilifukuzwa baada ya kuacha shule kwa sababu ya ujauzito wake.
Ni miezi 4 sasa siko naye maisha yangu ni duni hapa nilipo...
Read More