
ASANTE Mungu kwa
Jumatatu nyingine murua, umenipa uhai, afya, nguvu na mengineyo yote ni
kwa uweza wako. Mpenzi msomaji baada ya wiki mbili za machungu
yaliyotokana na mada ya wale waliopoteza wapenzi au wapendwa wao, leo
tunazungumzia namna ambavyo wapenzi wengine wamekuwa wakithaminiwa na
wapenzi...