Wednesday, May 31, 2017

Published 5/31/2017 04:28:00 PM by

MUNGU NDIO UPANGA MUDA WA KUPATA MTOTO

Katika kuzungumzia manyanyaso, matusi na mambo mengi ya ajabu ambayo wanakutananayo wanandoa, hususan wanawake ambao wamekuwa wakibebeshwa mzigo mkubwa na mzito na wanaume wao. Kinachonishangaza ni kuona binadamu anajivisha mamlaka ya kumtaka mwenza wake awe na mtoto ilihali anajua kabisa kuwa...
Read More
      edit

Saturday, May 27, 2017

Published 5/27/2017 12:13:00 PM by

WOLPER AZUNGUMZIA KUKOMOREWA KIMAPENZI

Malkia wa filamu, Jacqueline Wolper amefunguka kueleza moja na sababu ya mahusiano yake na wanaume wengi kushindwa kudumu kwa muda mrefu. Muigizaji huyo ambaye ameachana na msanii Harmonize miezi kadhaa iliyopita, amedai kuna baadhi ya wasichana wanaingilia mapenzi yake ili kumkomoa. “Mimi ni...
Read More
      edit
Published 5/27/2017 11:54:00 AM by

MAGAZETI YA LEO MAY 27, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785. Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa...
Read More
      edit

Friday, May 26, 2017

Published 5/26/2017 10:47:00 AM by

MAGAZETI YA LEO MAY 26, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785. Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa wetu wa...
Read More
      edit

Thursday, May 25, 2017

Published 5/25/2017 05:46:00 PM by

NJIA ZA UHAKIKA YA KUWA NA KESHO YENYE MAFANIKIO

Makosa tuliyofanya tukashindwa kufaulu masomo, au tukafukuzwa kazi, au biashara zetu zikafa. Wakati uliopita umebeba mengi na ndiyo umekufikisha hapo ulipo sasa. Maamuzi uliyofanya siku zilizopita huko nyuma, ndiyo yamekufikisha hapo ulipo. Watu uliokuwa karibu nao siku zilizopita, ndiyo wamekusaidia...
Read More
      edit
Published 5/25/2017 05:10:00 PM by

MAMBO YATAKAYOKUWEZESHA KUFIKIA UTAJIRI KUPITIA UJASIRIAMALI

Inawezekana lengo lako siyo kuwa bilionea, lakini kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho kuhusu wewe ni kwamba unahitaji utajiri. Unahitaji kuwa na uhuru wa kifedha ili uwe huru kwenye maamuzi yako ya kimaisha. Hivyo basi, kwenye makala ya leo nakwenda kukushirikisha mambo saba muhimu yatakayokuwezesha...
Read More
      edit
Published 5/25/2017 04:40:00 PM by

FAIDA ZA KUFANYA TENDO LA NDOA

Tendo la ndoa tangu uumbaji lililengwa kati ya mwanaume na mwanamke waliofunga ndoa, sasa hivi dunia imebadilika sana kiasi kwamba tendo hili sio lazima kuliita la ndoa tena. watu wengi wamekua wakishiriki tendo la ndoa bila kujua faida zake.lakini tendo la ndoa lina faida nyingi sana kiafya...
Read More
      edit

Wednesday, May 24, 2017

Published 5/24/2017 01:46:00 PM by

JINSI YA KUANZISHA BIASHARA

Mara nyingi mtu anapotaka kuanzisha biashara anakuwa mwenye kujiamini kwa kuwa atafanikiwa bila kufanya utafiti wa kutosha kwa kuangalia vitu vidogo vidogo vinavyoweza kukwamisha biashara hiyo. Ni lazima kufanya utafiti wa mahitaji yote yanayohitajika katika biashara hiyo ili kuepuka kufanya vibaya...
Read More
      edit
Published 5/24/2017 11:46:00 AM by

MAGAZETI YA LEO MAY 24, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785. Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa...
Read More
      edit

Tuesday, May 23, 2017

Published 5/23/2017 02:13:00 PM by

NGUZO KUU ZINAZOMJENGA MWANAUME KATIKA MAHUSIANO

Kama kichwa kinavyojieleza hapo, siku hizi watu wamejikuta wakichanganyikiwa kutokana na mabadiliko ya kimila na kiutamaduni. Zamani mtu ulikuwa ukifanya au ukiwa na tabia fulani basi utasikia wazazi wakikuambia hiyo sio tabia ya kike au ya kiume. Duniani kila jambo huwa na sifa zake halikadhalika...
Read More
      edit