
Katika
kuzungumzia manyanyaso, matusi na mambo mengi ya ajabu ambayo
wanakutananayo wanandoa, hususan wanawake ambao wamekuwa wakibebeshwa
mzigo mkubwa na mzito na wanaume wao.
Kinachonishangaza ni kuona binadamu
anajivisha mamlaka ya kumtaka mwenza wake awe na mtoto ilihali anajua
kabisa kuwa...