Saturday, April 29, 2017

Published 4/29/2017 05:04:00 PM by

PICHA: FLORA NA MCHUMBA WAKE

Headlines za staa wa muziki wa Injili Tanzania Madam Flora kukaribia kufunga ndoa baada ya kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha zimekuwa zikichukua nafasi siku za hivi karibuni. Kwa Ushauri Wa Uhusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi...
Read More
      edit
Published 4/29/2017 04:31:00 PM by

MWENYE DHAMILA HASHINDWI WALA HAKATI TAMAA!

Tumshukuru Mungu kwa kutupa nafasi ya kuweza kuiona Jumamosi hii, kuna wengine walipenda lakini ikashindikana. Kuna magumu mengi ambayo tunayapitia kama wanadamu lakini kamwe yasitukatishe tamaa kama kweli tutamshirikisha Mungu. Kufikia ndoto au malengo ya jambo fulani si jambo la kitoto au kawaida,...
Read More
      edit
Published 4/29/2017 03:57:00 PM by

Binti wa Mwakyembe Apachikwa Ujauzito

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...
Read More
      edit
Published 4/29/2017 11:19:00 AM by

MAGAZETI YA LEO APRIL 29, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785.Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea...
Read More
      edit

Friday, April 28, 2017

Published 4/28/2017 12:38:00 PM by

Kama Utafanya Mambo Haya, Hakuna Tena Wa Kukuzuia Kufanikiwa.

Ili uweze kufikia mafanikio makubwa yapo mambo ya lazima ambayo unatakiwa kuyafanya karibu kila siku ili ufanikiwe. Naamini hilo lipo wazi kabisa, hiyo ikiwa na maana kwamba huwezi kufanikiwa bila kufanya mambo hayo. Wengi hufikiri kwamba ili ufanikiwe ni lazima uwe na akili ya ajabu  na ufanye...
Read More
      edit
Published 4/28/2017 09:30:00 AM by

MAGAZETI YA LEO APRIL 28, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785.Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa...
Read More
      edit

Thursday, April 27, 2017

Published 4/27/2017 12:44:00 PM by

ANANIFICHA KAMA ANA MTOTO

Habari....mimi ni binti mwenye miaka 23 nina mpnz wangu tumedumu katika mapenzi kwa miez mitatu ila huyu mpenzi wangu uwa anapost whatsApp picha ya mtoto mdogo wanafanana na jamaa ila nikimuuliza anasema wa rafik ake sasa jana kuingia kwenye accaunt inst nikakuta kapost tena hiko katoto anakatakia...
Read More
      edit
Published 4/27/2017 10:11:00 AM by

NJIA ZA MKATO ZINAVYOWEZA KUKUPA MAFANIKIO YENYE UCHUNGU

NDUGU zangu, linapokuja suala la kutafuta maisha mazuri na yenye mafanikio, wapo watu ambao wanadiriki kujiingiza katika shughuli zisizo halali ambazo mwisho wa siku zinaweza kuyahatarisha maisha yao. Lakini niwakumbushe tu kwamba, zipo kazi nyingi tu ambazo ukizifanya kwa nguvu zote na...
Read More
      edit
Published 4/27/2017 09:51:00 AM by

MAGAZETI YA LEO APRIL 27, 2017

Kwa Ushauri Wa Mahusiano, Mada Za Mahaba, Hadithi, Machombezo, Mikasa Ya Kweli Ya Mapenzi Na Ujasiriamali. Jiunge na M&U SMS au M&U WhatsApp kupitia Na. 0679979785.Pia tembelea www.miminauhusiano.blogspot.com, Insta:@mimi_na_uhusiano au tembelea ukurasa...
Read More
      edit